Bahati Bukuku - Umewazidi Wote Lyrics Eti wanasema mimi nilivyo elimu yangu ndogo Maneno yao umeyasikia maneno yao Eti wanasema mimi si fanani kuwa na nyumba hiyo Eti wanasema mimi nilivyo si hazi yako Hawajui tulianzia wapi hawajui Hawajui Kuna siri gani hawajui wanavyo tazama majumba hayo hawajui Hawajui mchango wangu kwako hawajui Wanavyo kutazama unavyo pendeza hawajui Hawajui hekima yangu kwako hawajui Hawajui ushauri wangu Get Code. Forgot Password? Play 2, Cancelled: Your expired order will turn to "Cancelled".
nest...